His Eminence Polycarp Cardinal Pengo, born on 5th August, 1944, at Mwazye Parish in Sumbawanga Diocese; ordained priest on 20th June, 1971. He was appointed Bishop of Nachingwea and consecrated by Pope John Paul II in St. Peter's Basilica in Rome on 26th January, 1984. He was named Bishop of Tunduru-Masasi on 17th October, 1986 and installed on 12th February, 1987. He was nominated Archbishop of Dar es Salaam on 22nd July, 1992. He was proclaimed Cardinal of the Holy Church on 18th Jan 1998 and created Cardinal on 21st February, 1998.
Viwawa Upanga, Nikikundi cha Vijana Wakatoliki wanaopata huduma za Kiroho katika Parokia ya Upanga iliyoko katika Jimbo Kuu la Dar es salaam Tanzania. Viwawa Upanga inajumla ya Kanda Nne; Kanda A, B ,C na D. kila kanda Imeundwa na Jumuiya ndogo ndogo Nne zilizo karibu karibu. Viwawa Upanga Tunatoa huduma ya Viti ambavyo hukodishwa kwa wanaparokia na Jimbo kwa bei nafuu ya Tsh 250/= kwa kiti.
Somo wa Viwawa-Upanga

Thursday, March 17, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment