Matukio mbalimbali katika Uchaguzi wa Viwawa Jimbo Kuu la Dar es Salaam mwaka jana 2010
 |
1 |
Mwili haujengwi kwa matofali....
 |
2 |
Naomba unitoe vizuri katika hii picha unayonipiga
 |
3 |
Mmmh Papai hili jamani tamuu karibuni
 |
4 |
Jamani mada ya leo imenugusa saaaana Terence...
 |
5 |
Hapo vipi mwanangu
 |
6 |
Jamani msinionee gere mwezenu raha saana kulishwa
 |
7 |
Mmmh sijui nitaweza kuimba vizuri leo
 |
8 |
Wanaimba vizuri utazani wanatoka parokia moja! Viwawa tupo juu
 |
9 |
 |
10 |
Huyu mpiga picha mbona haji upande wangu kwa mtu mzima..
 |
11 |
Jamani huyu Padri mahubiri yake nimeyapenda kwa kweli
 |
12 |
Jamani kaeni vizuri tupige picha ya pamoja
 |
13 |
Full shangwe
 |
14 |
Hawa vijana wamechangamka mpaka raha
 |
15 |
Jamani hata Kanisani raha zipooo
 |
16 |
Pigeni makofi jamani
 |
17 |
Hapa ni kucheza na kuimba kwa saaana
 |
18 |
 |
19 |
 |
20 |
Jamani hizi style mie siziwezi nita aibika bure mwenyekiti mzima.
 |
21 |
Doh1! nilikuwa nina njaaa jamani
 |
22 |
Sijui chakula kitabaki maana naona kama sijashiba vileee
 |
23 |
Ukiwa unakula hutakiwi kuongea bwana
 |
24
Mimi na Upanga ni damu damu kwa kifupi ninawakubali kwa kazi zao za utume. |
Picha namba 3 Mmmmh!!
ReplyDelete